Nyumba nzuri Sana kubwa ya kisasa ina uzwa bei raisi sana tsh mil 40 tu Nyumba ipo mbagala chamaz jiji la Dar es Salam wilaya ya temeke Jimbo la mbagala kata ya chamaz mtaa wa msufini,Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom ina sttng room na daing room ina jiko na store ina public toilet ina maji na umeme,Eneo sqm 200 Ina documents ya… Ona mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi usha fanyika
TSh20,000