Nauza mjengo huu wa ukweri Sana Ina uzwa bei poa kabisa tsh mil 35 tu.nyumba ina patikana uku m bande lufu nyuma ya uwanja wa azam coplex Nyumba ime kamilika yote ime jengwa vzuri sana ya kisasa ina vyumba viwili tu vya kulala kimoja ni master bedroom Ina eneo kubwa sqm (700) ina Documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Kutoka bar bar kuu ya Rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 7 tu kwa mwendo wa miguu Njoo uiyone mdau wangu nyumba hii ina full Ac ina maji na umeme,Ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek Whatsapp 0652618143 0759203175
$18,000